?Vitu vizuri mara nyingi hua vinakuja wakati haupo tayari. Utayari unautengeneza wewe mwenyewe.

➿Wengi bila kujua huishia kujitetea na kutoa sababu nyingi za namna ambavyo hawawezi na kujikuta wakipoteza fursa zile au vitu vile.

✅Choose to find a way don’t find an excuse!

? Unaweza ukajitetea sana jinsi ambavyo hali ni ngumu.

?Unaweza ukajitetea sana jinsi ambavyo huwezi kufikia malengo na ndoto zako lakini ukweli unabaki kwamba hizo sababu na kujitetea hakukubadilishii hali uliyonayo.

? Uchumi umekua mgumu sana unaweza kutumia hiyo kama sababu ya kujitetea au kama fursa ya kutafuta suluhisho.

☹ Hata Mungu hataki watu wanaojitetea na kutoa sababu kwanini hawawezi na kwanini wamekosea. Kaa kwenye nafasi yako utatue matatizo yako.

?Ifanye akili yako ifikiri. Akili ikishindwa kutumika vyema itatumika vibaya.

#Jacob_Mushi
#+255654726668

Andika Maoni Yako Hapa

Discover more from Jacob Mushi

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading