535: Yanapokuja Usiyoyatarajia…

Weka Email Yako Hapa Upokee Makala Kama Hizi Kwenye maisha yetu ya kila siku kuna mambo mengi hutokea na kwa namna moja au nyingine mambo haya yanatuathiri moja kwa moja au kwa sehemu. Kila siku kuna mtu atakuwa amezidiwa na akakimbizwa hospitali, kuna ambaye atafiwa, kuna ambaye atapata ajali, kuna ambaye ataibiwa, kuna ambaye atapoteza […]

511; Unakimbilia Wapi? Tazama Pembeni Yako.

 Haya Ndio Maisha yetu kwenye vitu vingi tunavyopitia kila siku, Soma kisa hiki ujifunze: “Habari kaka Jacob, ninaomba ushauri wako kuhusu hili. Ni mwaka wa tatu sasa tangu nikutane na binti mmoja na nikampenda sana. Nina tabia moja huwa sikati tamaa haswa pale ninapokuwa nimekipenda kitu Fulani maishani mwangu. Nimekuwa naamini kwamba ipo siku tu […]

417; Ukianzia Juu Utashuka Chini.

Mojawapo ya vitu ambavyo huanza juu havipendezi sana na sio vizuri mfano wa haraka ni shimo. Shimo linachimbwa kwa kuanzia juu kwenda chini na shimo linaweza kuwa hatari lakini vitu vingi vizuri huanzia chini na kuelekea juu. Unapojenga ghorofa lazima uanze chini kuweka msingi ndio upande juu Zaidi. Sasa Rafiki ukitaka usiteseke, kwasababu wengi wanateseka […]

HATUA YA 396: Usifanye kwa Kwa Ajili Yako.

Penda kuwaweka wengine mbele kwanza ndio utaweza kufurahia kile unachokifanya. Unataka kununua gari, Sema napambana ninunue gari ili niwahamasishe wengine kuwa inawezekana ” Chochote kile unachokifanya hata kama ni wewe unafaidi jaribu kuweka katika namna ambayo wengine wanaguswa pia. Furaha ya kweli haipo katika vitu tunavyomiliki ila katika watu tunaowasaidia. Furaha ya kweli ipo katika […]

HATUA YA 395: Upo Tayari Kufanya Hata Kama Hujisiikii Kufanya?

Watu waliofanikiwa wanaendelea kufanikiwa kwasababu wapo tayari kufanya hata yale ambayo hawajisikii kufanya. Unajua kuna vitu unatakiwa kuvifanya halafu mwili unakuwa umechoka hivi unasema nitafanya kesho au siku nyingine. Kuna wakati unakuwa umechoka sana hadi yale mambo ya muhimu unataka kuahirisha, unatakiwa ujue kwamba kitu pekee ambacho hutakaa ukipate tena ni muda. Lazima ukubali kujitoa […]

HATUA YA 394: Kama Hutengenezi Maadui….

Ni kweli hutakiwi kufanya kutafuta maadui kwasababu haina maana yeyote, ila katika safari ya mafanikio huwezi kuepuka kuwa na maadui. Kuna watu watakuchukia tu bila sababu yeyote. Wengine watakuchukia kwasababu kile unachokifanya wao hawajaweza kufanya, wengine watakuchukia kwasababu wameona umeanza kuwapita kwasababu mnafanya kitu kinachofanana. Sasa wakati mwingine ili kujua kama kweli unasonga mbele na […]

HATUA YA 393: Yeyote Anaejaribu Kukuzuia…

Ukiona kuna mtu ana muda mwingi sana wa kufuatilia unachokifanya na siku zote anakuja na mawazo hasi tu na wala hujamwajiri afanye hivyo basi ujue tu huyu Ameshapoteza Muelekeo wa Maisha Yake Mwenyewe. Huo ndio ukweli kama yeye Maisha yake hana muda nayo ndio anapata muda wa kufuatilia Maisha yako maana yake yeye ameshayapoteza Maisha […]

HATUA YA 392: Una Uwezo wa Kudhibiti.

Imekuwa ni kawaida kusikia watu wanalalamika wameumizwa kihisia, na wanasema hawatakaa wapende tena. Imekuwa ni kawaida pia kuona watu wakilalamikia mambo mbalimbali ambayo walijitoa  sana na kisha yakaja kuwaumiza kuliko walivyotarajia. Unachotakiwa kujifunza hapa ni wewe binafsi kujitahidi uweze kudhibiti hisia zako. Usipende kuziachia zikatoka au zikaonekana san ahata kwa mtu ambaye bado hujajua kama […]

HATUA YA 391: Kwanini Uamke Asubuhi na Mapema?

Wakati wa Asubuhi Ndio wakati ambapo watu wengi wenye mafanikio huanza siku zao. Wengi wanaamka mapema ila sio kwasababu ndoto zao zinawasukuma, wengine wanawahi kuamka kwasababu bosi wake ni mkali akichelewa. Asubuhi akili inakuwa haijachoka hivyo chochote utakachokifanya asubuhi kinakuwa na matokeo bora sana. Asubuhi hakuna usumbufu, watu wengi wanakuwa wamelala, mifugo, redio zimezimwa, Watoto […]

HATUA YA 390: Kumbuka Kitu Hiki Pale Wengine Wanapokukatia Tamaa.

Siku moja nilikutana na kijana mmoja anaitwa Baraka ambaye alikuwa na changamoto ya kukatiwa tamaa yaani kuchokwa na watu wa karibu yake kama wazazi, mpenzi wake na kadhalika. Baraka alinieleza kuwa ilifika mahali akasema sasa afanye nini tena maana kila anachokifanya wale waliomkatia tamaa wanakuwa wanaendelea kumkatisha tamaa. Ilifika mahali akiwaeleza wazo lolote jipya ambalo […]