#HEKIMA YA LEO: Unyenyekevu Utakulinda.

Unawafahamu watu ambao wakiwa na shida wanakuja kwako kwa upole wakinyenyekea sana.  Lakini wakishapata wanasahau na kuanza kuonyesha tabia zao halisi. Wako watu wa aina hii wengi kwenye jamii yetu. Wakiwa chini wanakuwa wanyenyekevu na wapole sana. Wakipata fedha au cheo utaanza kujua tabia zao za kweli. Rafiki yangu nakuomba usiwe mmoja watu wa aina […]

#HEKIMA YA LEO: Wakati Mwingine Jifunze Kuyatazama Mambo Jinsi Yalivyo Kwanza…

Ni vyema kuelewa kwamba kuna tofauti ya kuwa chanya kwenye mambo na kupotezea ukweli halisi wa jambo lenyewe. Kuna nyakati ili uweze kutatua mambo kwenye maisha yako inakupasa uanze kuyaelewa hayo mambo yakoje. Mfano una matatizo kwenye familia yako hata ukiwa chanya kivipi, na ukaweza kuyaona hayo matatizo sio kitu hakubadilishi ukweli kwamba hayo ni […]

#HEKIMA YA LEO: Kipimo Cha Ukomavu.

Kipimo cha Ukomavu wako kinatokea pale ambapo unatakiwa uwatendee mema watu ambao hawastahili kabisa katika akili za kibinadamu.  Watu wengi hushindwa mtihani huu. Kuwa mwema hata kwa Waliokuumiza sana. Waliokusaliti kwenye mambo makubwa. Wabaya wako ambao ulisema hutakaa uwasamehe kabisa. Hawa watu mara nyingi wanapokuja kwetu kutuomba msaada tunaweza kuwatendea ubaya kama malipo. Lakini kwa […]

#HEKIMA YA LEO: Kama Hufurahi Wewe Huishi.

Habari Rafiki, Leo ni siku nyingine tena ambayo tumepewa kama zawadi kwa ajili ya kwenda kuyafanya Maisha yetu yawe bora Zaidi. Jisemeshe Maneno Haya Kabla Hujatoka Kwenda kufanya Chochote. “NACHUKUA HATUA, NAJIFUNZA, NAWEKA JUHUDI NA BIDII, NAVUMILIA. MAFANIKIO NI HAKI YANGU, EEH MUNGU NIWEZESHE.” Maisha ni kufurahi, haina maana kwamba utakuwa unapitia mambo ya kukufanya […]

#HEKIMA YA LEO: Njia Rahisi Inaweza Kugeuka Kuwa Ngumu Sana.

Habari Rafiki, Leo ni siku nyingine tena ambayo tumepewa kama zawadi kwa ajili ya kwenda kuyafanya Maisha yetu yawe bora Zaidi. Jisemeshe Maneno Haya Kabla Hujatoka Kwenda kufanya Chochote. “NACHUKUA HATUA, NAJIFUNZA, NAWEKA JUHUDI NA BIDII, NAVUMILIA. MAFANIKIO NI HAKI YANGU, EEH MUNGU NIWEZESHE.” Watu wengi hutafuta njia rahisi za kufanya mambo yao, sasa tatizo […]

#HEKIMA YA LEO: Jenga Mtazamo Wa Ushindi.

Habari Rafiki, Leo ni siku nyingine tena ambayo tumepewa kama zawadi kwa ajili ya kwenda kuyafanya Maisha yetu yawe bora Zaidi. Jisemeshe Maneno Haya Kabla Hujatoka Kwenda kufanya Chochote. “NACHUKUA HATUA, NAJIFUNZA, NAWEKA JUHUDI NA BIDII, NAVUMILIA. MAFANIKIO NI HAKI YANGU, EEH MUNGU NIWEZESHE.” Mambo mengine yanakuwa magumu kwasababu mtazamo wako unavuta ugumu. Inakupasa kutengeneza […]

#HEKIMA YA LEO: Usibadilike Kwa Ajili Ya Mtu.

Habari Rafiki, Leo ni siku nyingine tena ambayo tumepewa kama zawadi kwa ajili ya kwenda kuyafanya Maisha yetu yawe bora Zaidi. Jisemeshe Maneno Haya Kabla Hujatoka Kwenda kufanya Chochote. “NACHUKUA HATUA, NAJIFUNZA, NAWEKA JUHUDI NA BIDII, NAVUMILIA. MAFANIKIO NI HAKI YANGU, EEH MUNGU NIWEZESHE.” Mojawapo ya watu ambao wanaishi kwa mateso duniani na huzuni ya […]

#HEKIMA YA LEO: Vidogo Vyenye Manufaa..

Habari Rafiki, Leo ni siku nyingine tena ambayo tumepewa kama zawadi kwa ajili ya kwenda kuyafanya Maisha yetu yawe bora Zaidi. Jisemeshe Maneno Haya Kabla Hujatoka Kwenda kufanya Chochote. “NACHUKUA HATUA, NAJIFUNZA, NAWEKA JUHUDI NA BIDII, NAVUMILIA. MAFANIKIO NI HAKI YANGU, EEH MUNGU NIWEZESHE.” Kwenye mtihani shuleni tulikuwa tunaambiwa yale maswali ambayo unayaweza ndio unatakiwa […]

BARUA YA WAZI KWA WOTE WANAOISHI BILA YA MZAZI MMOJA AU WOTE.

Habari Rafiki yangu, leo tena nimeandika barua hii maalumu kwa watu wote wasio na wazazi na pia wenye mzazi mmoja. Ni kwa ajili ya kukutia moyo ili uweze kusonga mbele na kutimiza Ndoto yako. Unaweza kutuma Makala hii kwa Rafiki yako ambaye unafikiri akiisoma itamtia moyo na ataweza kusonga mbele. Kwa waliopoteza wazazi kwasababu mbalimbali, […]