499; Njoo Uchukue Milioni Kesho.

Ikitokea Rais amesema vijana wote kesho tukutane nae pale Posta Dar es Salaam Atakuwa anagawa Tsh 1m ukafanyie chochote unachotaka, popote ulipo bila kujali unafanya nini bado nafasi ya kwenda utaipata. Huwezi kusema samahani naomba nije kuchukua keshokutwa, huwezi sema nitakuja jioni naomba unisubiri, huwezi kusema umepata dharura akutumie kwa mpesa. Utakachokifanya ni kwenda na […]

496; Ni Mtu Mpya Anatengenezwa.

Njia pekee ya kupata juice ya nanasi ni kulisaga na kulikamua nanasi. Kwa kawaida inaonekana kama ni kuharibu lakini ndio njia ya kupata juice. Kuna mambo yanatokea kwenye maisha kwa nje yanaonekana ni mabaya sana. Kwa nje inaonekana kama umepigwa na Mungu. Nataka nikwambie kuna kitu kipya kinakuja baada ya hayo unayopitia. Kuna bidhaa mpya […]

488; Usiongeze Matumizi, Ongeza Hiki.

Badala ya kubadilisha aina ya maisha unayoishi baada ya kuongezeka kwa kipato Wekeza zaidi kwanza. Badala ya kukununua vitu ambavyo vitakuongezea matumizi ya pesa zaidi nunua vitu ambavyo vitakurahisishia kupata pesa zaidi. Badala ya kuongeza wanawake wengi Wekeza Kwenye baadae ya watoto wako. Badala ya kutaka kila mtu ajue umepata pesa weka nguvu kubwa zaidi […]

481; Fahamu Kanuni za Maisha Bora.

Kila kitu kina misingi na kanuni zake, maisha nayo yana misingi na kanuni zake. Ili uweze kuishi na kufurahia maisha katika kiwango cha juu unatakiwa kufahamu na kuishi misingi na kanuni. Hizi ni ambazo nimezifanya ziwe kama mwongozo wako. AFYA: Afya ya Mwili. Afya ya Akili. Afya ya Kiroho. Vitu Hivi vitatu ni muhimu sana […]

477; Sio Yako Hadi Pale Utakapoitoa Kichwani.

“Kuna kipindi Fulani nilisafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine kikazi. Nilipofikia kwenye familia moja ambayo ilikuwa inanifahamu. Sikuwa nawafahamu sana watu kwenye ile familia Zaidi ya baba mwenye familia ambaye alikuwa mwenyeji wangu. Wakati naendelea kukaa pale nilitokea kuzoeana na binti yake sana hadi nikaanza kuona hisia za upendo. Kiukweli nilikuwa namheshimu sana mzee yule […]

476; Unahitaji Watu Zaidi Kuliko Unavyohitaji Pesa.

Mtu Tajiri kuliko wote duniani kwa haraka haraka ukifikiria unaweza kudhani kilichomfanya akawa Tajiri ni pesa zake au akili zake pekee. Ila ukija kutafakari katika upande mwingine unagundua kwamba ukiwa na pesa pekee bila watu utaishia kuzitumia kwa matumizi yako binafsi. Ukiwa na akili nyingi za kugundua vitu halafu huna watu utaishia kugundua tu lakini […]

473; Mawazo Ya Mungu Si Kama Ya Mwanadamu.

Kuna namna ambavyo wanadamu tumekuwa tunajaribu kumtafsiri Mungu katika uelewa wetu kitu ambacho tunasahau ni kwamba uelewa wetu bado ni wa kibinadamu. Hivyo kwa vyovyote bado tunamtafsiri Mungu kwa viwango vyetu. Kama Upumbavu wa Mungu ndio hekima ya mwanadamu basi sisi hatuwezi kusema sana juu yake kwasababu bado tutakuwa tunakosea. Yeye aliumba miti ya matunda […]

471; MAMBO 7 WANAYOFANYA MASKINI LAKINI MATAJIRI HAWAYAFANYI KABISA.

Kinachokufanya uendelee kubaki hapo ulipo ni kwasababu unataka kufanya kile ambacho kila mtu anafanya na atakikubali. Unajua hata ukileta bidhaa yako sokoni ikakubaliwa na kila mtu hiyo bidhaa inashuka thamani haraka. Unatakiwa ukubali kuwa wa pekee hataka kama watu watakuchukia basi iwe hivyo kwasababu wewe sio kila mtu. Kuna neon moja linatajwa sana kwenye maelezo […]

470;USHAURI: MUONDOE CHUMA ULETE HUYU KWENYE PESA ZAKO.

Mojawapo ya vitu vinavyowafanya watu waishi maisha ya magumu sana hapa duniani ni kukosa namna bora ya kupangilia na kuendesha maisha yao. Kingine ni kwamba wengi wanapenda kuishi maisha ya kuiga, kwasababu umeona jirani yako ana maisha Fulani hivi na wewe unataka uanze kuishi hivyo. Sio vibaya kutamani vitu vizuri kwenye maisha yako lakini ni […]

HATUA YA 303: Jinsi Gani Kijana Aisafishe Njia Yake?

Jinsi gani kijana aisafishe njia yake? Kwa kutii, akilifuata neno lako. ZABURI 119:9 Kwa dunia ya sasa ambayo imejaa kila aina ya uovu hasa katika kundi hili la vijana ni muhimu sana kwa kila mmoja kujua ni namna gani anaweza kutengeneza njia ambayo ni safi mbele za Mungu. Ni kwa kupitia njia safi tunaweza kuyafurahia […]