Pamoja na Maarifa makubwa unayoyapata katika vitabu hivi hizi ni faida chache unazoweza kuzipata ndani ya Audio Books.
1. Kuokoa muda.
Mara nyingi umekua bize na kazi na unashindwa hata kufanya mambo mengine muhimu. Vitabu hivi vinaokoa muda wako unaweza kusikiliza wakati upo kwenye gari unasafiri au kwenda kazini.
Ukiwa nyumbani umechoka unaweza kusikiliza vitabu hivi.
2. Watu wenye matatizo ya macho wanaweza kusikiliza vitabu hivi hata kama huna tatizo la macho pia.
3. Kuokoa gharama
Vitabu hivi vipo 25 kwa bei ya Tsh 25,000 Ukisema ukanunue Hardcopy moja utauziwa kwa zaidi Tsh 20,000/= moja ya vitabu nilivyoweka hapo.
4. Unaweza Kusikiliza popote ulipo.
Vitabu hivi unaweza kusikiliza popote ulipo na kwa kifaa chochote kinachoplay music hata kama una simu ya mchina inayoingia memory card unaweza kusikiliza.
5. Kuongeza uwezo wako wa kuzungumza lugha ( English)
Vitabu hivi vinakupa wewe uwezo wa kuzungumza lugha ya kiingereza vizuri kwani utakutana na misamiati mipya na namna ya kutamka vyema,
Zipo faida nyingi sana za vitabu hivi ukiachana na maarifa ambayo unayapata.
Chagua vitabu hivyo Hapa
Wasiliana nami kwa 0654726668