Kitabu hiki ni mkusanyiko wa makala ninazoandika kila siku za HATUA ZA MAFANIKIO. Nimechambua makala 101 ambazo ukizisoma zinaweza kukupa mbinu na maarifa ya kukuwezesha usonge mbele zaidi kwenye kile unachokifanya.

Kitabu hiki cha Mbinu za 101 za Mafanikio Kimejumuisha , Mbinu za Maisha na mafanikio, sms za mafanikio, siri ya mafanikio katika biashara, nguzo za mafanikio katika Maisha, siri ya mafanikio pdf, nini maana ya mafanikio, kitabu cha siri ya mafanikio, dira ya mafanikio, kanuni za kuwa Tajiri , njia kuu za mafanikio katika Maisha, historia ya matajiri duniani, tabia za matajiri, mbinu za biashara na utajiri, siri ya mafanikio, jinsi ya kupata utajiri kwa haraka, siri za matajiri duniani.

Utapata nafasi ya kuongezeka kwenye MAHUSIANO, BIASHARA NA ROHO YAKO PIA. Usiache kusoma kitabu hiki ili uweze kusonga mbele.

Kinapatikana kwa mfumo wa softcopy kwa bei ya Tsh 10,000/= (elfu kumi). Ukishafanya malipo ya Kitabu tuma jina la kitabu pamoja na email yako na utatumiwa kwenye email yako mara moja.

Namba za Malipo. 0654 726 668 Tigopesa.

Karibu Sana Rafiki.

Jacob Mushi,

3 Responses

Leave a Reply to Rabison mwanyamboCancel reply

Discover more from Jacob Mushi

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading