KITABU: Mwongozo wa KILIMO CHA TIKITI MAJI

By | April 24, 2018

Baadhi ya Yaliyomo kwenye Kitabu hiki:

  • Utajifunza shughuli zote za shambani kuanzia kuandaa shamba, upandaji, umwagiliaji, uwekaji mbolea, palizi, uvunaji n.k
  • Vigezo vya kuzingatia katika uchaguaji wa shamba zuri pamoja na mbegu nzuri
  • Utawafahamu Wadudu waharibufu na namna ya kuwadhibiti kikamilifu, pia Magonjwa yanayoathiri sana tikiti maji na namna ya kuyathibiti
  • Utajifunza uchavushaji (pollination) kwenye zao la tikiti maji na namna unavyoweza kuongeza uchavushaji na kuongeza mavuno hadi asilimia themanini (80%)
  • Masoko: Utaelewa mienendo ya bei, kipindi chenye bei nzuri, kipindi chenye bei mbaya na sababu zake. Hii itakusaidia kujua wakati sahihi wa kupanda zao la tikiti ili upate faida nzuri Zaidi.
  • Utajifunza namna unavyoweza kutumia simu yako kujua bei za tikiti kwenye masoko yote hapa Tanzania. Yaani bei za kila siku za kwenye masoko yote makubwa hapa Tanzania utaweza kuzijua kupitia simu yako.
  • Pia utajifunza namna ya kutafuta wanunuzi kupitia simu yako, yaani utajua namna ya kupata mawasiliano ya wanunuzi(namba zao za simu) kutoka masoko mbalimbali. Kwenye kitabu hichi utajifunza hayo yote.
  • Master plan: Hapa mwandishi amekuwekea mpangilio wa shughuli zote, tena hatua kwa hatua kuanzia kupanda hadi kuvuna. Utafahamu nini kianze na kipi kifuate. madawa yote, mbolea zote, na shhguli nyingine zote zipo
  • Uchambuzi wa gharama na Faida: Hapa utapata kufahamu rasilimali zote zinazohitajika na gharama zake, pia utajua faida utakayopata.

Namna ya Kupata nakala yako:

Kitabu hikikinapatikana katika mfumo wa hardcopy, kama upo mikoani utatumiwa kwa gari. Kama upo Dar utaletewa hadi ulipo.

Unafanya malipo ya 10,000  Tigo pesa 0654726668 (Jina Litaonyesha Jacob  Moshi)

Ukishafanya malipo unatuma Ujumbe wenye Jina na lako kwenda  au 0654726668.

Kama   na ungependa kutumiwa Kitabu kwa email, Whatsapp au Telegram basi utatuma ujumbe WhatsApp au Telegram kwenda namba 0654726668

Wahi Ujipatie nakala yako.

www.kilimo.net

One thought on “KITABU: Mwongozo wa KILIMO CHA TIKITI MAJI

Leave a Reply