HATUA YA 303: Jinsi Gani Kijana Aisafishe Njia Yake?

Jinsi gani kijana aisafishe njia yake? Kwa kutii, akilifuata neno lako. ZABURI 119:9 Kwa dunia ya sasa ambayo imejaa kila aina ya uovu hasa katika kundi hili la vijana ni muhimu sana kwa kila mmoja kujua ni namna gani anaweza kutengeneza njia ambayo ni safi mbele za Mungu. Ni kwa kupitia njia safi tunaweza kuyafurahia […]