#HEKIMA YA JIONI: Kuchukua Hatua.

Hatuhitaji watu wengi wanaoweza kulielezea jambo Fulani vizuri bali tunahitaji watu wachache wanaoweza kuchukua Hatua juu ya jambo husika. Tuna upungufu wa watu wanaochukua Hatua ndio maana hatuna maendeleo.   Badala ya kuendelea kuongea maneno matupu fanya kile kilichopo kwenye uwezo wako kwanza. Kwa kupitia hicho ndio utaona uwezekano wa kufanya makubwa Zaidi. Tuna wengi […]

HATUA YA 300: Hiki Ndio Kiwango cha Udhaifu Wako.

Ukiona mtu anatumia nguvu kubwa kupambana na mtu asiye na nguvu hata nusu yake basi ujue mtu huyu ni dhaifu kuliko yule anaejaribu kupambana nae. Huwezi kushindana na mtu anaeongea kwa kutumia silaha njia pekee ya kuweza kusema wewe umeshindana nae ni kwa kutumia maneno kama yeye. Najua umewahi kusikia visa vya mtu kumpiga mke […]

UMUHIMU WA KUJITAMBUA NA KUELEKEA KWENYE MAFANIKIO

Kujitambua wewe ni nani ni hatua ya kwanza kwako kuanza kufanya mambo makubwa na kutimiza ndoto zako. Watu wengi wanashindwa kujitambua wao ni nani hivyo wanaishia njia bila hata kujua uwezo walio nao. Kama hujajua wewe ni nani huwezi kujua uwezo wako ukoje. Embu jiulize simba mkubwa ambaye hajitambui yeye ni simba hawezi kuwinda. Hawezi […]

JINSI YA KUJIJENGEA TABIA YA KUSIKILIZA NA KUJILETEA MAFANIKIO KATIKA MAHUSIANO YAKO NA WENGINE.

Habari za leo Rafiki yangu, ninatumaini unaendelea vyema na mapambano ya kufikia mafanikio makubwa. Ni muhimu utambue kwamba maisha hayatakaa yawe marahisi hivyo basi unachohitaji ni wewe kuwa na ujuzi wa namna mbalimbali ili uweze kuzikabili changamoto unazokutana nazo. Kazi yangu kubwa ni kukupa wewe mbinu mbalimbali ambazo utazitumia zikuwezeshe wewe katika changamoto hizo na […]

Utakula matunda ya kinywa Chako.

Maneno yako yanajenga vitu kwenye maisha yako, hata kama hutaona matokeo yake kwa muda huu ipo siku yataonekana hata ikiwa umeshasahau. Ni vyema sana kujitazama sana kile uanchokiongea kinaweza kuleta matokeo gani kwenye maisha yako na kwa wengine. Sio kila neno ni la kutamka, sio kila jambo ni la kuchangia unaweza kujikuta unajichimbia shimo mwenyewe. […]

Mambo 5 Ambayo kila Mjasiriamali Anapaswa Kuwa Nayo.

Habari za leo ndugu msomaji wa makala hizi kila siku ndani ya USIISHIE NJIANI. Ni matumaini yangu unaendelea vyema na maisha yako.  Leo tunazungumzia mambo ambayo kila mjasiriamali anapaswa kua nayo ili aweze kufanikisha kile anachokifanya. Tujifunze pamoja. 1. Mbunifu Mjasiriamali yeyote kama unataka kua wa tofauti na wenzako na kuleta thamani kwa mteja wako […]

HATUA YA 299: Kama Unafanya Hivi Umeshatoka Nje ya Kusudi.

Ikifika mahali kila unachokifanya hutaki kusikiliza wengine, kushauriwa wala kukosolewa ujue kwamba unalolifanya umeshapotea njia. Hii ni kwasababu karibu kila tunalolifanya hatufanyi kwa ajili yetu bali kwa ajili ya wengine. Haijalishi wewe una kipaji kikubwa kiasi gani unaimba vizuri sana haujiimbii wewe mwenyewe unaimba ili watu wasikie kile unachokitoa. Kama umefikia sehemu ambayo wale ambao […]

#HEKIMA YA JIONI: Kusudi la Mungu na Kusudi La Mwanadamu.

Mungu ametuumba na akatuleta duniani kwa makusudi yake yeye mwenyewe. Pamoja na hayo bado kuna watu ambao hawajaweza kutambua makusudi ya wao kuwepo hapa duniani. Niliwahi kusema kwamba chanzo cha maovu mengi yanayoendelea hapa duniani ni kutokana na watu wengi kuishi Maisha ambayo sio ya kwao yaani kutokutambua kwanini wapo hapa duniani. Mungu hajakuumba uje […]

JINSI YA KUGUSA MAISHA YA WENGINE NA KUFIKIA MAFANIKIO.

Habari rafiki, leo tunakwenda kuona njia za kugusa maisha ya wengine ili tuweze kufikia mafanikio ya kweli.  Kwenye kila kitu ambacho Mungu ameweka ndani yako ni kwa ajili ya wengine. Kama utaweza kukitumia vyema utakuwa umeweza kuyasaidia maisha yako mwenyewe. Maana ya kugusa maisha ya wengine. Kugusa Maisha ya wengine ni kile kitendo cha kuongeza […]

#HEKIMA YA JIONI: Fanya Mabadiliko ya Kudumu.

“If you want to make a permanent change, stop focusing on the size of your problems and start focusing on the size of you!” T. Harv Eker Harv Eker Mwandishi wa Kitabu cha The Secret on the Millionaire Mind anasema ukitaka kuleta mabadiliko ya kudumu acha kutumia nguvu nyingi kwenye ukubwa wa matatizo yako na […]