523; HEKIMA: Uzima Ni Fursa

Kuna mtu yupo hospitali anamlilia Mungu ampe uzima ulionao, halafu wewe ni mzima na unakata tamaa. Jacob Mushi Unapotaka kukata tamaa kumbuka kwamba kuna watu ambao wanalilia nguvu ulizonazo sasa hivi. Kuna mtu anaipigania pumzi ya mwisho ili angalau aendelee kuwa hai. Nataka ujue kwamba uzima ulionao ni fursa kubwa sana kwasababu ni nafasi ya […]