Kuna vile unajihisi wewe haupo sawa kisa tu maisha yako hayafanani na ya fulani. Elimu yako haiendani na watu fulani, huna cheo cha maana kwenye kazi.

Naomba nikwambie hayo yote ni maboksi watu waliojitengenezea Usikubali kuishi kwenye maboksi ya wengine Tengeneza boksi lako linalokutosha.

Sio lazima uwe na elimu kubwa kama wengine, sio lazima uwe na cheo kikubwa, unaweza kuwa kitu kingine cha tofauti kabisa na ukawa mtu wa maana na mwenye heshima.

Jitambue wewe ni nani na kwanini upo hapa duniani halafu anzia hapo.

INATOSHA.

#WEWEMPYA

www.jacobmushi.com/coach

Andika Maoni Yako Hapa

Discover more from Jacob Mushi

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading