Kuhusu Mimi

Jacob Mushi ni Mwandishi, Mtumishi wa Mungu na Mjasiriamali.

Kiu yake kubwa ni kuona wewe unakuwa mtu bora, unatimiza ndoto zako na unaishi Maisha ya mafanikio. Kazi yake kubwa ni kuhakikisha wewe hauishii Njiani kwenye lile kusudi ambalo Mungu ameweka ndani yako.

MITHALI 29:18 “Pasipo maomo watu huacha kujizuia;Bali anaheri mtu yule aishikaye sheria”.