HATUA YA 261: Ni Kweli Huna Muda?

Ukiona mtu anakwambia hana muda au yuko bize sana wala usiumize kichwa sana unatakiwa ujue kwamba huyo mtu hajaamua kulipa lile jambo lako kipaumbele au hajaamua kukupa wewe kipaumbele. Inawezekana mtu ana majukumu mengi sana ya maisha yake kiasi kwamba anashindwa kufanya mambo mengine ambayo anapaswa kuyafanya kweli lakini pale linapokuja swala la msingi katika […]