HATUA YA 345: Mambo Ambao Wengi Wanakwepa Kufanya.

Kwenye dunia kila mmoja analipwa kwa thamani anayoitoa. Aina ya Maisha unayoishi ni kutokana na thamani unayoipa dunia. Mshahara unaolipwa ni thamani unayoitoa kwa bosi wako. Makossa utakayokuwa unafanya ni kusahau kwamba thamani inaongezwa, na kama inaongezwa basi ujue hiyo uliyonayo kuna kipindi itashuka kama isipoongezwa. Yapo Mambo Ambayo unapaswa Kufanyia kazi Kila Wakati kwenye […]