Watu wengi wamekuwa waoga hasa pale wanapojilinganisha na wengine na kujiona wao ni wa kawaida na hivyo kushindwa kujitambulisha vyema wanapokutana na wengine.

Unaweza kufanya makossa ukapoteza wateja wapya ambao ungewapata kwa kusema tu unachokifanya, hata kama huna ofisi usiogope kusema unafanya biashara gani.

Kuwa Mfuasi wa Kwanza wa Ndoto zako, usisubiri hadi watu waanze kusemea kazi zako kwamba ni nzuri jiamini na unapokutana na mtu jitambulishe bila woga kwa kusema kile unachokifanya.

Unaposema bila kuogopa na watu wanaamini na watachagua kuwa wateja wako. Usiogope kwa kujilinganisha na wengine ambao wameshakupita.

 

Sema vile Unavyotaka Watu wajue Kuhusu wewe, ila tu usiseme ambavyo Sio vya Kweli wasije wakatarajia makubwa wakayakosa.

 

Jiunge Nasi Hapa… Bonyeza Maandishi haya

Jipatie Vitabu vya Biashara na Mafanikio Hapa.. BONYEZA MAANDISHI HAYA

Tengeneza Kipato kwa kupitia Blog Bonyeza hapa.. BONYEZA MAANDISHI HAYA

 

Jacob Mushi

USIISHIE NJIANI

“Piga Hatua”

Andika Maoni Yako Hapa

Discover more from Jacob Mushi

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading