HATUA YA 331: Ukielewa Hili Huwezi Kuwa na Maumivu Ndani ya Moyo.

“We suffer more often in imagination than in reality” ― Seneca Mara inaweza kuwa jambo dogo sana limetokea mahali lakini kwa kupitia fikra zetu tukajikuta tumekuza lile jambo na kuendelea kupata maumivu makubwa. Mwanafalsafa Seneca anasema tunateseka Zaidi katika vitu tunavyovifikiria kuliko vile vitu halisi. Mfano mdogo ni pale umempigia mtu simu hakupokea au akaikata unaweza […]