405; Sio Lazima Ufanane Nao

Furaha itakuja pale ambapo utaanza kuishi Maisha ambayo moyo wako unataka na sio vile ambavyo watu wanataka uishi. Furaha ya kweli ipo ndani yako na utaweza kuipata kwa kuishi kile ambacho Mungu ameweka ndani yako. Hakuna haja ya kuishi Maisha vile ambavyo jamii inakulazimisha wewe uishi, vile jamii ambavyo imetengeneza na kutoa maana ya Maisha. […]

#HEKIMA YA JIONI:  Jifunze kwa Mwindaji Na Mfugaji.

Maisha ya mwindaji na mfugaji yanaweza kuwa mfano mzuri sana kwenye Maisha yetu ya kila siku na kama tutaweza kuwatazama vizuri watu hawa tunaweza kujua tupo upande upi. Mwindaji. Mtu wa aina hii siku zote anatumia nguvu Zaidi katika matendo yake. Ili aweze kuwinda lazima atumie nguvu zake. Mtu wa aina hii anawaza Zaidi kula […]

KONA YA BIASHARA: Hii Ndio Njia Pekee Itakayokusaidia kupata Wateja Wa Kudumu.

Sifa ya binadamu ambayo tumejijengea na ni kubwa sana ni pale kujenga mazoea Fulani na mazoea yale yanakuja kuwa tabia zetu. Na siku zote mtu anapokizoea kitu anaweza kukichukulia cha kawaida sana na asikipe tena thamani yake. Unapotaka kuwa na bidhaa ambayo watu watahitaji sana kwenye maisha yao na wasiipate mahali kwingine unakuwa umejijengea namna […]