MAKOSA 7 YATAKAYOFANYA UPOTEZE KILA UNACHOKITAFUTA

Habari za leo mpendwa Rafiki msomaji, ni matumaini yangu unaendelea vyema sana na majukumu yako kila siku. Leo katika kipengele cha mafanikio tunakwenda kuangalia mambo ambayo yanaweza kua sababu ya wewe kupoteza kila ulichonacho kama usipoyarekebisha. Karibu ujifunze nami. Kumsahau Mungu Mara nyingi wengi wakishapata mafanikio makubwa hujikuta wanamsahau Mungu na kudharau hata wale waliokua […]

KONA YA BIASHARA: JINSI YA KUPATA MTAJI NA KUANZA BIASHARA YAKO

Kuna mambo machache unatakiwa ujiulize Je eti ni kweli mwaka ujao utakuwa mpya kwako au ni zile kelele tu na hamasa? Una kitu gani unakitegemea kukipata cha tofauti ndani ya mwaka ujao? Umeajiandaa vipi kukipata? Upo tayari kuwa mpya ili upate hayo mambo mapya ya mwaka ujao? Tuachane na hayo twende kwenye mada yetu ya […]

KINACHOWATOFAUTISHA MATAJIRI NA MASKINI NI HIKI.

Ili uweze kutoka hapo ulipo sasa na kufika sehemu nyingine walipo watu wenye mafanikio makubwa ni muhimu sana kujua ni kitu gani kinawafanya muwe tofauti. Ni kitu gani kinawatenganisha na kuwafanya muitwe majina tofauti. Kitu cha ajabu ni kwamba wote tulizaliwa tukiwa na usawa, yaani kuanzia uwezo wa kufikiri, mazingira, na hata wakati mwingine upatikanaji […]

ZIFAHAMU TABIA 4 ZINAZOWAZUIA WAJASIRIAMALI VIJANA KUFANIKIWA.

Habari rafiki, ni matumaini yangu kwamba unaendelea vyema kabisa. Na ninaamini pia unaendelea kupambana ili kuifanya ndoto yako kuwa kweli. Usiogope wala usikate tamaa hakuna kitu kizuri chenye thamani kubwa kinachopatikana kirahisi. Endelea mbele. Kama tunavyojua mafanikio ni tabia, vilevile kutokufanikiwa ni tabia. Kama kuna tabia ambazo zinaweza kufanyika sababu ya watu Fulani kufanikiwa pia […]

BARUA MAALUMU KWA VIJANA AMBAO BADO HAWAJAOA AU KUOLEWA.

Habari za leo Rafiki, ni matumaini yangu kila mmoja anaendelea vyema kwenye Maisha yake na kupambana ili kupata matokeo bora Zaidi. Nina Imani kabisa unalifahamu kusudi la wewe kuwepo hapa duniani. Hujazaliwa kwa bahati mbaya, kila mwanadamu amekuja na uwezo ambao anatakiwa autumie hapa duniani ili aweze kuishi Maisha bora na yenye mchango kwa wengine […]

Sifa 5 za Mtu Anaelekea Kwenye Mafanikio Makubwa.

Habari za Leo Rafiki na Mwanamafanikio mwenzangu. Ni matumaini yangu kwamba unaendelea vyema na afya pamoja na safari hii ya mafanikio. Siku zote napenda kukwambia kamwe usikate tamaa. Haijalishi ni magumu kiasi gani unapitia sasa. Ipo siku Matokeo ya unachokifanya yatakuja kuonekana. Leo tujifunze juu ya Sifa tano ambazo zinaonyesha mtu huyu anaelekea Kwenye Mafanikio […]

USITAZAME LEO

Leo vita ni vingi sana, Leo hakuna mavuno bado. Leo wanakusema wengi Leo inaonekana kama ni ngumu sana. Leo inaonekana kama utakwenda kushindwa. Leo inakatisha tamaa sana. Leo unatoka jasho jingi sana. Leo unatumia nguvu nyingi sana.   Ukitazama leo utakata tamaa Ukitazama leo utarudi nyuma. Ukitazama leo utayaona magumu. Itazame ndoto yako. Yatazame mazao […]

#USIISHIE_NJIANI.: Focus & Concentration

Habari rafiki, Umeanzaje siku yako? Umeshajifunza kitu chochote leo? Umefanya mazoezi? Umesoma kitabu? Mambo madogo madogo tunayofanya kila siku ndio yanatuletea ushindi mkubwa. Hivyo ni muhimu sana unapoyafanya uyafanye kwa umakini na ubora wa hali ya juu. Ili usiishie njia unaweza kutumia mbinu ya kukomaa kwenye jambo uliloamua kilifanya hadi upate matokeo au ufikie mwisho.  […]

#USIISHIE NJIANI: HAKUNA NJIA MOJA AMBAYO NI SAHIHI.

Habari rafiki, Umeanzaje siku yako? Umefanya mazoezi? Umesoma kitabu? Ukweli ambao unaweza kuwa hupendi kuusikia ni huu, hakuna njia moja ambayo ni sahihi ukiifanya lazima ufanikiwe. Hakuna biashara ambayo ndio sahihi lazima ukiifanya ufanikiwe. Kila biashara kuna waliofanikiwa Zaidi, wa kawaida na waliofeli na wengine wanajuta kabisa kufanya biashara hiyo. Hivyo rafiki yangu usikae mahali […]

HII NDIO TABIA ITAKAYOKUFANYA UWE MASIKINI SIKU ZOTE.

Habari za leo rafiki. Naamini umeanza siku yako vyema kabisa ili kuongeza hatua kuifikia ndoto yako. Vile unavyoanza siku yako ndio itakavyokuwa. Ukianza kwa kukasirika siku yako itakuwa hivyo. Ukianza kwa ushindi na furaha tele siku yako itakuletea furaha na ushindi. Moja ya tabia ambayo naipigia kelele kila wakati kwamba haifai kwenye maisha yetu ni […]